1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ramaphosa aapishwa Afrika Kusini

19 Juni 2024

Cyril Ramaphosa, ameapishwa kwa muhula mpya kama rais iliyofanyika mjini Pretoria. Hatua hiyo ni baada ya chama chake cha African National Congress (ANC) kufikia makubaliano ya kuunda serikali ya umoja wa kitaifa.

https://p.dw.com/p/4hGcW