1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Museveni aongoza baada ya 60% ya kura kuhesabiwa

Mohammed Khelef20 Februari 2016

Kwa mujibu wa matokeo yaliyotangazwa saa 7:30 usiku kwa majira ya Afrika Mashariki, Rais Museveni alikuwa anaongoza kwa kura 3,373,998 sawa na 60.8% ya kura zilizohesabiwa, huku mshindani wake wa karibu, Besigye, akiwa na kura 1,932,323 sawa na 34.8%, akifuatiwa na Amama Mbabazi mwenye kura 91,980, yaani 1.7%.

https://p.dw.com/p/1Hywl