1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
Mtindo wa maishaUlaya

Mwangaza wa Ulaya: Ulaya imejiandaaje kwa kurejea utawala wa Donald Trump?

1 Februari 2024

Wakati kampeni za urais nchini Marekani zikiashiria uwezekano wa kurudiwa kwa mchuano kati ya Donald Trump na Joe Biden, Ulaya inafuatilia kwa wasiwasi mkubwa. Siyo tu kura za uchunguzi wa maoni zinazompa Trump nafasi halisi ya kurejea Ikulu ya White House. Gazeti la New York Times liliripoti kuwa viongozi wengi wa dunia wanaamini Trump anarudi kwa muhula wa pili. Zaidi katika Mwangaza wa Ulaya.

https://p.dw.com/p/4bqct