1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Msigwa: Chadema imepoteza mwelekeo wake wa kisera

10 Julai 2024

Kambi ya upinzani nchini Tanzania imepata pigo kubwa baada ya mwasiasa mkongwe wa upanzani mMchungaji Peter Msigwa kutimkia chama tawala CCM huku akitangaza chama chake cha zamani kukosa mwelekeo katika masuala kadhaa ikiwemo demokrasia na mwelekeo wa kisera, lakini anakoselewa kuwa ni mwanasiasa mwenye uchu wa madaraka. Msikilize akijibu tuhuma hizi

https://p.dw.com/p/4i7BN