1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
JamiiIraq

Mauti harusini- Iraq yaomboleza vifo vya zaidi ya watu 100

27 Septemba 2023

Iraq inaomboleza vifo vya karibu watu 100 waliopoteza maisha kwa mkasa wa moto uliozuka kwenye ukumbi wa harusi kaskazini mwa nchi hiyo usiku wa kuamkia Jumatano. Bwana na bi harusi ni miongoni mwa waliouawa.

https://p.dw.com/p/4WrK4