1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matokeo ya Uchaguzi wa Bunge la Ulaya

11 Juni 2024

Uchaguzi wa Bunge la Ulaya ulifanyika kuanzia tarehe 6 hadi 9 Juni 2024 katika jumla ya mataifa 27 ya Umoja huo. Matokeo ya uchaguzi huo yalikuwa pigo kubwa kwa vyama vya jadi, kutokana na vyama vya siasa kali za mrengo wa kulia na vile vya kizalendo kupata matokeo mazuri. Hata hivyo vyama vya kihafidhina vilishinda uchaguzi huo. Ungana na Bakari Ubena katika kipindi hiki cha Mwangaza wa Ulaya.

https://p.dw.com/p/4gvY9