1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya mchana ya DW Kiswahili: 15.05.2022

15 Mei 2022

Mashambulizi manne ya makombora yalenga miundo mbinu ya kijeshi katika eneo la Yavoriv Magharibi mwa Ukraine, naibu katibu mkuu wa Jumuiya ya Kujihami ya NATO Mircea Geoana asema uvamizi wa kijeshi wa Urusi nchini Ukraine unaonekana kufifia na Ujerumani yasema imefanya maandalizi yote ya mchakato wa uidhinishaji wa haraka iwapo Finland na Sweden zitaamua kuomba uanachama wa NATO

https://p.dw.com/p/4BKFB