1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Mchana 25.12.2019

SK2 / S02S25 Desemba 2019

Hujambo na habari za Krismasi. Miongoni mwa yaliyomo kwenye matangazo ya mchana leo: Papa Francis na wakuu wengine wa kidini watuma ujumbe wa kipekee wa Krismasi kwa viongozi wa Sudan Kusini kuunda serikali ya kitaifa ya mpito. //Watu 35 wameuawa nchini Burkina Faso kufuatia mashambulizi yaliyofanywa na wanamgambo wa itikadi kali.//Mashambulizi yaua watu 8 Idlib.

https://p.dw.com/p/3VJbn