1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Mchana 11.03.2017

11 Machi 2017

Kwenye matangazo yetu leo mchana: Umoja wa Mataifa watahadharisha juu ya janga kubwa la njaa duniani. Umoja wa Ulaya kujibu katika saa 48 zijazo pendekezo la Uingereza la kutaka kujitoa Umoja wa Ulaya. Mvutano waendelea baina ya Uturuki na Uholanzi juu ya ziara ya waziri wa mambo ya nje wa Uturuki katika mji wa Rotterdam

https://p.dw.com/p/2Z2Kj