1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Mchana 05.11.2023

5 Novemba 2023

Ndege za kivita za Israel zaishambulia kambi ya wakimbizi mjini Gaza. Maandamano ya kumtaka Waziri Mkuu wa Israel ajiuzulu yafanyika katika miji kadhaa Israel na Rais wa Ukraine Volodmry Zelensky anatarajia majadiliano kuhusu taifa lake kujiunga na Umoja wa Ulaya kuanza karibuni.

https://p.dw.com/p/4YQGT