1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Jioni: 15.09.2024

15 Septemba 2024

Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz amesisitiza kuwa nchi yake haitapeleka makombora ya masafa marefu aina ya Taurus nchini Ukraine. Netanyahu aapa kulipiza kisasi kwa Wahouthi baada ya shambulio la Kombora kuilenga Israel. Watu kadhaa wamekufa kutokana na mafuriko Ulaya ya kati

https://p.dw.com/p/4keBF