1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Jioni 11.12.2016

11 Desemba 2016

Taarifa tulizokuletea jioni ya leo ni pamoja na: Waziri wa mambo ya nje wa Italia ateuliwa kuwa waziri mkuu mpya//Zaidi ya watu 100 wamekufa nchini Nigeria baada ya paa la kanisa moja kuanguka//Serikali ya Uturuki yatangaza maombolezo ya taifa baada ya watu kadhaa kuuwawa katika mashambulio ya mabomu

https://p.dw.com/p/2U6nB