1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo Ya Jioni: 10.12.2022

10 Desemba 2022

Polisi ya Ujerumani imesema mwanaume aliyekamatwa kutokana na tukio la kuwashikilia watu mateka mjini Dresden amefariki dunia. Urusi yakanusha na kuikosoa tathmini ya Marekani kuhusu ushirikiano wake wa kijeshi na Iran. Taiwan yaahidi kuimarisha ushirikiano wake na Japan.

https://p.dw.com/p/4Km9k