1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Jioni 06.05.2017

6 Mei 2017

Katika matangazo yetu leo jioni:Himaya za nje za Ufaransa zimeanza zoezi la kupiga kura. Waziri mkuu wa zamani wa kundi la Hamas katika Ukanda wa Gaza Ismael Haneyah achaguliwa kuiongoza Hamas. Tume ya uchaguzi nchini Ufaransa yatoa amri kuwa barua pepe za mgombea wa urais nchini Ufaransa Emmanuel Macron zilizodukuliwa zisienezwe

https://p.dw.com/p/2cXDr