1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Asubuhi 18.11 2017

18 Novemba 2017

Chama tawala nchini Zimbabwe ZANU-PF chamshinikiza Rais Robert Mugabe ajiuzulu // Mkutano wa Umoja wa Mataifa kuhusu mabadiliko ya tabianchi umekamilika rasmi usiku wa jana mjini Bonn, Ujerumani // Polisi nchini Rwanda imetangaza kwamba ndani ya kipindi cha miezi mitatu iliyopita ajali za barabarani zimepungua kwa kiwango cha asilimia 70.

https://p.dw.com/p/2nqoR