1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Asubuhi 16.02.2019

Caro Robi
16 Februari 2019

Wapiga Kura wa Nigeria leo walipaswa kuteremka vituoni kumchagua rais lakini uchaguzi huo umeahirishwa kwa juma moja hadi Jumamosi ijayo ya Tarehe 23 Februari//Mkutano wa Kiusalama wa Munich unaingia siku yake ya pili huku ajenda kama kitisho cha makundi yenye itikadi kali za Kiislamu zikijadiliwa.

https://p.dw.com/p/3DUnT