1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Maporomoko ya ardhi yaua mamia Ethiopia

23 Julai 2024

Watu zaidi ya 150 wamekufa kusini mwa Ethiopia Kutokana na matukio mawili ya maporomoko ya ardhi. Serikali inasema idadi hiyo inaweza kuongezeka zaidi.

https://p.dw.com/p/4idfW