1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Makala ya Afrika Wiki Hii

26 Januari 2024

Waasi wa M23 nchini Kongo washambulia wilaya ya Masisi na kusababisha mauji ya raia. Visiwani Zanzibar waziri wa utalii na mambo ya kale ajiuzulu wakati nchini Kenya mahakama ya Juu yauzuia mpango wa kupeleka kikosi cha askari wake kwenda nchini Haiti kulinda usalama .Jiunge na Saumu Mwasimba katika Afrika Wiki Hii.

https://p.dw.com/p/4bjLm