1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wacongomani wanaamini zaidi imani za kishirikina

11 Oktoba 2016

Idadi kubwa ya watoto wa umri mdogo wametumbukia katika maisha ya mitaani baada ya kufukuzwa majumbani mwao kwa tuhuma za kuitwa wachawi na familia zao

https://p.dw.com/p/2R7sc

Mjini Kinshasa, Zaidi ya watoto  25,000 wanaishi mitaani. Wengi wanajijengea jamii zao, zinazoongozwa na wale waliokomaa mitaani. Wanawalinda wadogo, ambao wengi wamejikuta mitaani baada ya kutuhumiwa kuwa wachawi  na kufukuzwa makwao.