1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Madhila ya wakimbizi: Waume wawakimbia wake zao

Prosper Kwigize22 Februari 2016

Kuwa mkimbizi kunamaanisha sio tu kupoteza nchi yako na mali yako, bali pia heshima, familia na baadhi ya wakati hata moyo wa kusonga mbele kama jamii ya kibinaadamu. Sikiliza hadithi ya akinamama hawa wakimbizi wa Burundi nchini Tanzania wakisimulia walivyopoteza waume na viongozi wa familia zao.

https://p.dw.com/p/1Hzmu