1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Madaktari wa Sudan waanzisha kliniki Chad kuwatibu wahamiaji

28 Agosti 2023

Madaktari wa Sudan ambao pia ni wahamiaji walioko kambini Chad baada ya kukimbia mapigano makali Darfur wajitolea kuyaokoa maisha ya wagonjwa kambini. Huo ndio ubinadamu. Tizama kwenye KurunziAfya.

https://p.dw.com/p/4VfTu