1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Chadema waandamana kupinga mageuzi ya sheria ya uchaguzi

24 Januari 2024

Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania chadema leo kimefanya maandamano mkoa wa dar es laam yenye ujumbe wa kutaka mabadiliko ya sheria ya uchaguzi, kupunguza gharama za maisha na kushinikiza kuwepo kwa katiba mpya.

https://p.dw.com/p/4bdhO