Elimu ni nguzo inayoongoza kuelekea mafanikio. Haytam kupitia shirika lake la Kijamii la Future Pillars akishirikiana na wenzake anahakikisha kila kijana anapata fursa ya kusonga mbele kielimu. Fathiya Omar amezungumza nae kwa kirefu katika Makala hii ya vijana na uongozi.