1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kurejea kwa mchezo wa ndondi Zanzibar

30 Agosti 2023

Baada ya Nusu karne kufungiwa kwa mchezo wa masumbwi zanzibar, mchezo huo sasa umeruhusiwa kuchezwa tena visiwani humo huku baadhi ya mabondia vijana wakitakiwa kutumia fursa hiyo kwa manufaa na kuibua vipaji na ajira zaidi.

https://p.dw.com/p/4Vl13
Ruka sehemu inayofuata Zaidi kutoka kipindi hiki
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Kurunzi

Vidio ya habari na matukio