1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kinagaubaga: Afrika Mashariki kuwa mwenyeji wa AFCON 2027

Sudi Mnette10 Oktoba 2023

Anayetupambia makala ya Kinagaubaga leo ni rais wa shirikisho la soka nchini Tanzania Wallace Karia. Tunajikita zaidi katika masuala ya soka ya Tanzania na hatua wanazoweka kuhakikisha maandalizi ya kuwa mwenyeji wa AFCON 2027 kwa ushirikiano na Kenya na Uganda yanafaulu. Sudi Mnette ndiye nahodha.

https://p.dw.com/p/4XKkZ