1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
MigogoroMamlaka ya Palestina

Israel yazidisha mashambulizi katika ukanda wa Gaza

10 Julai 2024

Vikosi vya Israel vimefanya mashambulizi makali zaidi leo kwenye Ukanda wa Gaza siku moja baada ya kuilenga shule katika hujuma ambayo maafisa wa afya wa Kipalestina wamesema imewaua watu wasiopungua 29.

https://p.dw.com/p/4i7Ja