1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ifahamu familia inayoishi na nyuki Tanzania

25 Oktoba 2023

Mwandishi wa DW Kiswahili, Salma Mkalibala aliitembelea familia ya Mzee Hamisi Lada, kijiji cha Nanyanga, halmashauri ya wilaya ya Tandahimba mkoani Mtwara, Kusini mwa Tanzania, inayoinaishi na nyuki ndani ya nyumba yao kwa zaidi ya miaka 18.Sikiliza kisa na mkasa...#Kurunzi

https://p.dw.com/p/4Y0kk