1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

DW Michezo: Wanariadha wavunja rekodi mjini Eugine

25 Julai 2022

Rekodi za dunia zavunjwa wakati mashindano ya riadha ya dunia yakimazilika mjini Eugine Marekani // Mashindano ya Kombe la Mataifa ya Ulaya - Euro 2022 kwa wanawake yanaingia nusu fainali, Je nani atatinga fainali ya Wembley? Msikilize Bruce Amani

https://p.dw.com/p/4EcDU