1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Congo kujadili utata katika sheria ya uchaguzi

Jean-Noel Ba-Mweze3 Mei 2022

Bunge la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limeukubali muswada wa kurekebisha sheria ya uchaguzi. Kikao kilichofanyika hapo jana pia kiliamua kuandaliwa mikutano mingine ili kuichunguza sheria hiyo kwa makini kabla ya kuanza kuitumia. Baadhi ya mapendekezo hayajashughulikiwa kwa sababu yanahitaji marekebisho ya katiba. Mengi zaidi na mwandishi wetu wa Kinshasa, Jean Noël Ba-Mweze.

https://p.dw.com/p/4AlJ8