1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Changamoto za marefa wa kike Pwani ya Kenya

3 Januari 2024

Mabadiliko hayaepukiki, hususan katika ulimwengu wa soka, ambapo waamuzi wa kike, wenye ujasiri na vipaji, wanajitokeza kuingilia fani ya wanaume, wakionyesha kwamba soka ni mchezo wa kila mtu. Pamoja na changamoto nyingi, baadhi yao huko katika kaunti ya Kwale, nchini Kenya, wameonesha kwamba kuwa mwamuzi wa kike ni safari inayowezekana.

https://p.dw.com/p/4apAA