1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Buriani Mzee Ali Hassan Mwinyi

Sylvia Mwehozi
1 Machi 2024

Tanzania yampoteza muasisi wa demokrasia ya vyama vingi, rais wa awamu ya pili Hayati Ali Hassan Mwinyi aliyefariki dunia kutokana na kuugua saratani ya mapafu akiwa na miaka 98. #kurunzi

https://p.dw.com/p/4d4SS