Licha ya umbali wa kijiografia kati ya afrika, Urusi na Ukraine, vita kati ya nchi hizo mbili imekuwa na athari kubwa kwa watumiaji wa ngano afrika. Wadau wanasema nchi za kiafrika zinapaswa kujifunza kitu na kufanya mabadiliko. Vidio ifuatayo inaeleza madhara hayo ya vita kwa wafanyabiashara wanaotegemea ngano jijini Nairobi. #kurunzi