1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Akina mama na ujumbe wa amani Mombasa

22 Februari 2023

#KurunziWanawake leo inamulika wanawake wa Mombasa, Kenya ambao wametumia maonyesho ya utamaduni wa wapwani kueneza ujumbe wa amani kwa kauli mbiu ya “Amani ni Mama na Mama ni Amani“. Vidio ya mwandishi wetu wa Mombasa Halima Gongo inaeleza juhudi hizo. #kurunziwanawake

https://p.dw.com/p/4Nq7g