Ajali ya meli yatokea jimboni Equator kwenye Mto Kongo
6 Oktoba 2008Matangazo
Juhudi za kuwatafuta watu waliopotea zinaendelea.Ajali hiyo imekuja wiki moja bada ya kuitishwa mjini Kinshasa mkutano wa mawaziri wa usafiri wa mataifa ya Afrika ya kati kwa ajili ya kuepusha ajali za ndege na meli kwenye eneo hilo.
Taarifa kamili na mwandishi wetu Saleh Mwanamilongo.