ADHABU YA KIFO KWA MAGENDO YA BANGI22.02.200522 Februari 2005https://p.dw.com/p/CFbwMatangazoRIYADH: Saudi Arabia imemnyonga hii leo raia wa India aliekutikana na hatia ya kuingiza nchini kimagendo bangi. Taarifa ya wizara ya ndani ya saudi Arabia imearifu kwamba mtu huyo amenyongwa huko Dammam,mashariki mwa Saudia Arabia.