Rais Donald Trump na Rais Xi Jinping wakubaliana kusitisha uhasama wa kibiashara. //Maafisa wa usalama Sudan wafanya msako kwenye ofisi ya kundi la upinzani huku maandamano makubwa yakitarajiwa leo. //Italia na Ujerumani wabanduliwa nje ya kombe la dunia la wanawake katika mchezo wa soka.