Shirika la kimataifa la utetezi wa haki za binaadamu la Human Rights Watch limesema takriban watu 30 walikufa katika maandamano ya kuipinga serikali Kenya. Wairan watalazimika kupiga kura kwa awamu ya marudio Julai 5, baada ya kukosekana kwa mshindi wa moja kwa moja baada ya uchaguzi wa Ijumaa. Shambulizi droni la Ukraine ladaiwa kuwauwa watu 5 eneo la mpakani la Urusi.