1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

28.06.2024 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S28 Juni 2024

Rais wa Marekani Joe Biden amepambana kutuliza wasiwasi kwamba ni mzee sana kuweza kuhudumu muhula wa pili katika mdahalo mkali na Donald Trump ambao ulishuhudia wawili hao wakurushiana matusi binafsi+++Mahakama nchini Kenya imeidhinisha uamuzi wa kutuma jeshi kuimarisha juhudi za polisi, huku maandamano ya kuupinga muswada wa fedha wenye utata

https://p.dw.com/p/4hdDx