Rais wa Marekani Joe Biden amepambana kutuliza wasiwasi kwamba ni mzee sana kuweza kuhudumu muhula wa pili katika mdahalo mkali na Donald Trump ambao ulishuhudia wawili hao wakurushiana matusi binafsi+++Mahakama nchini Kenya imeidhinisha uamuzi wa kutuma jeshi kuimarisha juhudi za polisi, huku maandamano ya kuupinga muswada wa fedha wenye utata