Wakati mapigano baina ya jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na waasi wa M23 yakiendelea kupamba moto katika baadhi ya maeneo mkoani Kivu Kaskazini, Waziri Mkuu Judith SUMINWA+++Viongozi wa Umoja wa Ulaya wako tayari kuwaidhinisha Ursula von der Leyen, António Costa na Kaja Kallas kama viongozi wakuu wa taasisi hiyo inayoyajumuisha mataifa 27 kwa miaka ijayo.