Kamala Harris ameashiria mabadiliko makubwa kwenye sera ya Marekani kuhusu vita vya Gaza+++Mawaziri wa Fedha wa kundi la mataifa tajiri na yale yanayoinukia kiuchumi la G20 wanakutana mjini Rio de Janeiro+++Wizara ya Afya nchini Burundi imetangaza kuwepo na ugojwa wa Mpox unaosababishwa na virusi vya nyani.