Vita vya Ukraine na uchaguzi wa Marekani ni mada zilizohanikiza katika mkutano wa kilele wa jumuiya ya NATO mjini Washington mwezi huu+++Kenya imefungua ukurasa mpya kwenye mapambano dhidi ya ukimwi, baada ya Idadi ya wanaojua kuwa wameambukizwa virusi vya HIV na kutumia dawa za kupunguza makali yake kuongezeka maradufu.