Rais wa Kenya William Ruto amelihutubia taifa usiku wa kuamkia leo na kusema maandamano ya kupinga ongezeko la kodi na ushuru yalivamiwa na makundi ya wahalifu+++Vyama vya mrengo wa wastani wa kulia nchini Ujerumani, vinavyoongoza kwenye kura za maoni, vimekaza zaidi mtazamo wao kuelekea wakimbizi wa Ukraine+++Mkuu wa jeshi la Anga la Marekani anafanya ziara ya nadra barani Afrika