Rais Joe Biden wa Marekani ameelezea uamuzi wake wa kukabidhi kijiti cha uongozi kwa makamu wake Kamala Harris+++Marekani imesema inakusudia kuiwezesha Tanzania kwa misaada ya kiusalama ili kukabiliana na kitisho cha ugaidi hasa katika eneo la kusini katika mpaka kati ya Tanzania na Msumbiji.