Mkurugenzi wa Idara ya Ulinzi wa Viongozi Marekani - Secret Service ajiuzulu // Mwanadiplomasia mkuu wa Ukraine Dymitro Kuleba asema ni muhimu kwa Ukraine na China kuzungumza moja kwa moja kuhusu kumaliza vita Ukraine // Mazungumzo ya kusitishwa mapigano Sudan kufanyika nchini Uswisi