Huko Kenya hatimaye baraza la mawaziri la Kenya limekamilika katika juhudi za kushajiisha umoja wa kitaifa+Baada ya kujiondoa katika kinyang'anyiro cha urais, Rais wa Marekani Joe Biden anatarajiwa kuhutubia taifa+Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz amesema inawezekana kabisaa kwa makamu wa rais wa Marekani Kamala Harris kushinda uchaguzi wa rais wa Novemba.