Kampeni ya urais ya Kamala Harris imeanza kuchapa kazi+Mawaziri wa fedha na magava wa benki kuu kutoka kundi la mataifa 20 wanakutana wiki hii+Uganda inaandaa mazungumzo ya amani kati ya serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na muungano wa makundi ya waasi wakiwemo wanamgambo wa M23.