1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

23.09.2023 Matangazo ya Jioni

23 Septemba 2023

Kiongozi wa kundi la Mafia wa Italia, Matteo Messina Denaro, ambaye alitiwa mbaroni Januari baada ya kuwa mafichoni kwa zaidi ya miaka 30, yupo mahututi akiwa amepoteza fahamu tangu Ijumaa.

https://p.dw.com/p/4WjbG