Mji wa Kampala umeamkia hali ya taharuki ambapo polisi na majeshi wameweka doria kali kuyadhibiti maandamano ya vijana wanaopinga ufisadi uliokithiri+++Makundi mbali mbali ya Palestina ikiwemo Hamas na chama cha Fatah wamekubaliana kumaliza tofauti zao na kuunda serikali ya Umoja wa kitaifa