Maandamano ya Kenya yanayoendelea kwa ajili ya kuishinikiza serikali, yameingia wiki yake ya sita+++Ligi kuu za soka barani Ulaya na muungano wa kimataifa wa wachezaji Fifpro zitaanzisha hatua za kisheria dhidi ya shirikisho la soka duniani FIFA kutokana na kile walichokiita “matumizi mabaya ya mamlaka” yake katika soka