Rais Joe Biden ameamua kujiondoa kwenye kinyang`anyiro cha kuwania urais wa Marekani mnamo Novemba 5 na anamuunga makamu wake wa rais Kamala Harris kugombea urais+++Muungano wa vyama vya siasa vya mrengo wa kushoto wa New Popular Front unaochukuliwa kuwa mshindi wa uchaguzi wa bunge la Ufaransa, unakabiliwa na changamoto za kuhodhi madaraka mjini Paris